Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua