kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
nasikia uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon