una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa