auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!