Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂