Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.