Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya