Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
We ni dentist mpro hadi unang’oa blue tooth ya phone yako.
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela