Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke