Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack