wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu