Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic