Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Kichwa kama basi ya bed ford ya zamani
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu