Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Kichwa kama basi ya bed ford ya zamani