Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist