Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
Wewe ni fala mpaka uikiingia kwa KBS unapiga hodi na unatoa viatu
We ni dentist mpro hadi unang’oa blue tooth ya phone yako.