wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate