First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva