ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
We ni mrefu mpaka usiku miguu zinalala kwa jirani
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
wewe ni mfupi hadi unakatiaga nyasi