Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Maskio yako kubwa ukiingia hoteli chai inapoa
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi