Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta