Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva