First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
ety ww n mrefu Hadi unagotea mungu
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!