Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
NASKIA WEWE NI MZEE MPAKA NUNA MEA KITUNGU KWA MAKWAPA
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Asubuhi asubuhi koo na omena