We mrefu mpaka ukianza kuvaa handa by the time ifike kwa magoti ime rust
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!