Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Kwenu nyi ni ma-miser mpaka price ya colgate ikipanda mnateta na hamna meno
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.