shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"