Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Ati wee ni mnono mpaka ukikalia kiti inasema paxes
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.