Asubuhi asubuhi makaa na maji ya sukuma
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.