Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion