Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
ww n mkonde adi unavaanva socks n belt