Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe