Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.