Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati