Manzi yako ame beat hadi badala ya kupelekwa extreem make ova, alipelekwa panel beating!
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.