Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Budako huhepa job ku-slide na socks
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa