Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
ety ww n mrefu Hadi unagotea mungu
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest