We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua