kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Umezoea kutumia wasee please call me mpaka ukipress *130* simu ukutolea phone book ujichagulie.
ukona maskio kubwa Hadi ukizaliwa daktari alikushika kama trophy