Adrian Makhulo
@user2713
·
kuoga
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest