Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…