Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
wewe ni msupa tu sana