Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut