Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma