Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
Maskio yako kubwa ukiingia hoteli chai inapoa