Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia