We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa