wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa