uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.