wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.
Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa